Kumekuwa na Mwingiliano Mkubwa kiasi kwamba hatuelewi kinachoendelea.
Nani ni kiongozi wao?
Ofisi za Bongo movie ziko wapi?
Nani anahusika kuchagua waigizaji kunapotokea fursa na wanaangalia vigezo vipi?
Na je kama una kipaji unaanzia wapi au ndo ile uanze kujikomba na kutoa virushwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.