1. Mchezaji mmoja Kupasuka na kuvuja Damu Kichwani au Usoni.
2. Kadi Nyekundu (ya Mchezaji tegemezi) na Timu moja kucheza pungufu.
3. Mtanange kusimama kwa dakika 3 hadi 5 kutokana na Fujo.
4. Kama kafara la Mtu maarufu na mwanachama lia lia halijafanyika au hajafa
5. Ndimu zisipotumika
6...
Ilikuwa inaitwa Vodacom LGE enzi hizo kama haujazaliwa google
Mechi n Azam vs YANGA
REfa Israel MKONGO alionyesha wazi kuipendelea Azam fc
Kijana wangu Stephen mwasika akiwa katika ya wachezaji alimrukia Refa akampa ndonga ya maana
Refa akashtuka akahamaki alienipiga katokea wapi kumbe...
Mwanamke mmoja mkazi wa mtaa wa Bandambili kata ya Sombetini jijini Arusha anashikiliwa na jeshi la polisi baada ya kumpiga mume wake hadi kuua.
Mwanaume huyo ajulikanae kwa jina la Daudi ambae ni fundi ujenzi alifariki dunia usiku baada ya kupewa kipigo usiku mzima na mkewe huyo wa ndoa...
https://www.youtube.com/watch?v=8_9k1D_x6gs
Siongezi neno.
Jamaa aitwaye Daudi kapata kipigo toka kwa mkewe na watoto wake na kupoteza maisha.
Hebu tudurusu kadhia hii wakati tukijikumbusha kuwa kuna wanawake wengi wameuawa na wanaume wengi tu.
Je hapa ni kile kisa cha mbwa kumng'ata mtu ikiwa...
Majigambo yake yameisha. Amepigwa kipigo cha mbwa koko! Amepigwa na Bwana Mkubwa!
Loo, aibu yake! Alivyoona amefaulu kuwaingiza mtegoni ndugu zetu, kwa hila zake, alifikiri atadumu kuwa mwerevu. Sasa ameshushwa chini kabisa. Kila mtu anamzomea, hata watoto wadogo wanambeza!
Alijiinua juu kwa...
Zinarudi zote na zinaweza kuzidi,
Kocha mpya wa Yanga itamchukua muda mrefu kuingiza kikosi kwenye mfumo wake, Motivation ipo chini, wachezaji wamechanganyikiwa kubadilishwa makocha kila leo, Mindset za wachezaji wanajua kocha mpya anatimuliwa muda wowote.
Unahitaji akili za kawaida kabisa...
Mnamo October 26,2024 Israel ilifanya shambulizi la kulipiza kisasi dhidi ya Iran,katika shambulio hilo Israel ilitumia anga la Iraq kulitekeleza huku ndege chache aina ya F 35 zikipenya anga la Iran bila kutambuliwa na ulinzi wa Anga wa Iran
Baada ya shambulizi Hilo Iran ilikuja na majibu...
Inspector Haroun (Babu) amemtembezea kipigo mtoto wake akidai kwamba mtoto amempeleka chuo ila anashangaa kumkuta studio
Yupo sahihi kwasababu uchungu wapesa anayolipa chuo tunaujua tunaolipia ada. Mzazi au mlezi unaweza kutimiza wajibu mtoto aende kusoma shule za serikali bure lakini utaanza...
Kufuatia kufunguliwa kwa shule, waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu amekemea vikali tabia ya BAADHI ya Wazazi na BAADHI ya Walimu kupiga watoto kupita kiasi BILA KUFUATA KANUNI ZA UTOAJI WA ADHABU STAHIKI.
Amesema adhabu za kupitiliza zinawajengea watoto hali ya...
Wachezaji hawa
1. Prince Dube
2. Aziz Ki
3. Chama
Lazima wote au baadhi wa/atupie. Hilo lipo wazi limepitishwa. Na Dube alifanyiwa maombi majini yaliyotupwa kwake na wazee wa Zanzibar yameondolewa. Sasa yupo huru kweli kweli atakuwa anatupia tu.
Aziz Ki naye amekaa sawa hakutakuwa na shida...
Hebu tuwe wakweli shida ya Yanga ipo wapi?
Wachezaji hawana teamwork?
Ina wachezaji ambao hawajui kusoma wapinzani?
Wachezaji wamelewa sifa?
Physicality ya wachezaji ni hafifu?
Wameingia kwa dharau na matokeo mfukoni?
Karibu kwenye mjadala wa Utopolo katika Utopolo wao.
Pang Fung Mi
Doh! Sio Mchezo
Kipigo cha Yanga dhidi ya Tabora United cha bao 3-1 kimetumika darasani kama somo la kusoma kwa wanafunzi wanaojifunza Kiswahili.
Soma, Pia: Full Time: Yanga SC 1 - 3 Tabora United | NBC Premier League | Azam Complex | November 7,024
Katika video iliyosambaa, wanafunzi...
Hatua ya kwanza. Kuwapa nasaha,
Ikishindikana hapo, muwahame.. Yaani muwaache majumbani pekee yao.
Umemuhama kakufuata lakini bado anaendelea na tabia zake, ruksa kumshikisha adabu, japo namo kuna maelekezo ni vipi kumshikisha adabu.
07 October 23 ndio kipigo Cha kuwafurusha kilianza rasmi kwa Wavamizi wa Kiyahudi toka Nchini Poland na bara Ulaya waliovamia Palestine kwa ajili ya kulinda maslahi ya mabeberu wa Ulaya.
Israel imekua ikitajwa kama taifa Lenye Silaha na Tech za kisasa lkn kipigo kimekuja kuwaumbua baada...
Oct 1 (Reuters) - The Israeli military said on Tuesday that missiles had been launched from Iran towards Israel, and that Israel's home front command had provided life-saving guidelines to people in various parts of the country.
Televisheni ya taifa ya Iran imeangazia taarifa kutoka kwa...
Huyu mzee na lile kanzu lake alikuwa mstari wa mbele kuagiza magaidi ya Waislamu yashambulie Israel, sasa wanapata majibu na bila aibu analalamika....
________
Jerusalem Post breaking newsBREAKING NEWS
Iran's Supreme Leader says Israel is committing 'shameless crimes' against children
By...
Tumewahi kuzipiga launcher. Haya Hezbullah anawaibisha sasa.
https://youtu.be/8RZ2iquG8Vk?si=A_nyuk_9ttfL8m1T
Pia kapiga Navy ya Israel
https://youtu.be/fnEOBamOMe8?si=kBHSp6JILmrzytkW
Pia wamepiga target muhimu sana Tela Aviv. Israel wanaficha na uwongo wao wa kusema Hezbullah karusha...
Tamko la aina hiyo limeshatolewa huko nyuma na makamanda wa jeshi la Marekani na ikaonekana kama ni utani.Kwa mara nyengine limetolewa na kamanda mkuu wa vikosi vya wanamaji wa Marekani eneo la mashariki ya kati,vice admiral George Wikoff.
Katika hoja zake kamanda huyo amekumbusha kuwa vikosi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.