kipindupindu tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. I

    Waziri Afya, Jenista Mhagama: Ugonjwa wa kipindupindu umekuwa ukiwachukua Watu kutokana uchafu

    Waziri wa Afya,Jenista Mhagama amezitaka jamii kuendelea kuchukua tahadhari ya magonjwa ya msimu ambayo yamekuwa yakiibuka kwa nyakati tofauti hususani ugonjwa wa kipindupindu ambao amedai umekuwa ukipelekea vifo. Amesema kuwa ugonjwa wa Kipindupindu umekuwa ukiwachukuwa watu. Lakini ameeleza...
  2. ndege JOHN

    DOKEZO Kuna mlipuko wa Kipindupindu Pwani ya Kusini, kwanini serikali haisemi lolote?

    Ni takriban wiki sasa yale madimbwi yaliyotokana na mafuriko ya mvua za mwaka huu yamesababisha mlipuko wa kipindupindu. Sasa mbona kama inafanywa siri? Lengo ni kutozua taharuki au nini? Watu hawachukui tahadhari wanaendelea kusafiri. Ni hatari sana.
Back
Top Bottom