Kama mmeamua kuifata injili ifatwe inavyotaka, kuipinga injili ni uovu
1 Timotheo 2 :9
Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani.
Nenda makanisa mengine ukute...