Kisarawe is one of the six districts of the Pwani Region of Tanzania. It is bordered to the East by Dar es Salaam Region, to the north by the Kibaha District, to the east by the Mkuranga District, to the south by the Rufiji District and to the west by the Morogoro Region.
According to the 2002 Tanzania National Census, the population of the Kisarawe District was 95,614.
Watu hatuna maji yeye analeta story za uchaguzi. Tuliambiwa kuwa hapo ikulu alikufelisha na wewe ukaamua kuturushia huku Kisarawe huku ni majanga kabisa .
Hapa Kisarawe wilaya nzima hatuna maji yeye yuko size na ishu za uchaguzi utadhani anagombea
Barabara mbovu kila sehemu yeye yupi size na...
Plot available for sale.
Location: Kigamboni Kisarawe 2, Mwasonga road.
Descriptions:
*12km from main road(Kibada road).
*It's near to Box Factory(Kiwanda cha maboksi) and Dar es Salaam Zoo.
*It's 9.6 acres which is equal to 39,507.11SQM.
*Suitable for Industrial, Commercial or Residential...
Plot available for sale.
Location: Kigamboni Kisarawe 2, Mwasonga road.
Descriptions:
*12km from main road(Kibada road).
*It's near to Box Factory(Kiwanda cha maboksi) and Dar es Salaam Zoo.
*It's 9.6 acres which is equal to 39,507.11SQM.
*Suitable for Industrial, Commercial or Residential...
Ni toka mvua za mwaka jana 2024 mpaka leo barabara za Kichangani kuanzia Shule, Kisimani hadi Msikiti wa Mzee Nandule, kote huko njia hazipo ni kama vile Serikali imesahau kuwa kuna watu wanaishi huko.
Mbali ya kuwa Wananchi wamejichanga na kutafuta vifusi ila mkandarasi wa Barabara ya Kibada -...
Uchawa unanguvu sana! Na bila shaka hii yote kwenye kutetea ugali wao.
Sasa Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Petro Magoti ameamua kuvaa vazi la Samia style kama sehemu ya kumpongeza Rais Samia kwa kazi nzuri anayoifanya katika kuendelea kuwaletea wananchi maendeleo.
Plot available for sale.
Location: Kigamboni Kisarawe 2, Mwasonga road.
Descriptions:
*12km from main road(Kibada road).
*It's near to Box Factory(Kiwanda cha maboksi) and Dar es Salaam Zoo.
*It's 9.6 acres which is equal to 39,507.11SQM.
*Suitable for Industrial, Commercial or Residential...
Mtu mmoja (jina limehifadhiwa) anadaiwa kufoji nyaraka na kujifanya mwakilishi wa mmoja wa Wakuu wa Wilaya waliowahi kuongoza Wilaya ya Kisarawe, akidai kuuza viwanja kwa niaba ya mkuu huyo wa wilaya aliyepita.
Tuhuma hizi zilibainishwa na Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti, wakati...
Wakuu,
Vitu vingine mpaka vinachekesha, ni zaidi ya vituko!:BearLaugh::BearLaugh::BearLaugh:
=====
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa...
Mbunge Halima Mdee akizungumza wakati wa mjadala wa Taarifa za Kamati ya PAC na LAAC kuhusu Ripoti ya CAG katika Mkutano wa 17 wa Bunge la 12 ulioanza leo Oktoba 29, 2024 na kutarajiwa kuendelea hadi Novemba 8, 2024, amesema mapato Tsh. Bilioni 61.15 hayakukusanywa katika vyanzo muhimu
Amesema...
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti ametoa maelekezo ya kusimamishwa kwa mchakato wa utafutaji madini kwa kulipua mawe kwa baruti eneo la King’azi A kusimamishwa kwa kuwa hana vibali na hivyo anahatarisha usalama wa mali na Watu.
Kusoma hoja ya Mdau, bofya hapa ~ Jamaa anapasua mawe kwa...
SIKU YA WAZEE DUNIANI 1 OCTOBER 2024
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Petro Magoti jana aliandaa Chakula cha Mchana na wazee zaidi ya 300 ktk Ikulu ndogo ya Kisarawe kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan na katika Hafla hiyo Mgeni Rasmi alikuwa Dkt. Suleiman...
Nimeona komenti hii kwenye ukurasa wa JF, hili lipoje Wadau wa Kisarawe?
Majibu ya DC, soma ~ DC Kisarawe: Mwekezaji anayepasua mawe kwa baruti kusaka madini King’azi A tumemzuia
Uchimbaji huo wa mchanga umekuwa ukifanyika kwa zaidi ya miaka minne sasa, tumeripoti kwenye Mamlaka mbalimbali lakini bado wahusika wamekuwa wakiendelea na hivyo kuweka nyumba zetu kwenye hatari ya kubomoka hasa kipindi cha mvua.
Uchumbaji wa michanga maeneo ya Mwaninga, Chekeni, Kisarawe II...
Ni kama vile DC Magoti anaona kama wananchi wanadhani yeye sio DC, lakini kawadhihirishia kwamba yeye sio DC wa Mpeche Mpeche, ni DC wa kimataifa, na kwamba wasidhani kwa umbile yeye ni mtoto, bali ni mtu mzima, na Rais kamteua.
N.B: nadhani anaweza kufanya tukio kubwa, pengine baya, ili...
Nyumba zaidi ya 500 zinadaiwa kubomolewa kwenye Kijiji cha Tondoroni Kata ya Kiluvya Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani na maafisa wa Jeshi la Wananchi kufuatia uwepo wa mgogoro wa aridhi baina ya Jeshi hilo na wanakijiji.
Baadhi ya wananchi wanaeleza kwamba zoezi la ubomoaji ambalo lilianza juni...
Kama hii line up ikitiki, nadhani Kisarawe itatosha kutengeneza content wanazopenda watanzania, ila mpaka karata za kisiasa ziende sawa, wote tuseme ameen.
Sasa ole wenu watumishi msiojua kubana cheko zenu vikaoni
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti ametoa mifuko ya saruji 300 akianza kutanguliza mifuko 150 kwa ajili ya ujenzi wa bweni (hosteli) litakalotumika kwa ajili ya Watoto wanaopata mafunzo ya Dini ya Kiislamu Wilayani hapo ikiwa ni siku mbili tangu alipotoa maelekezo ya kusitishwa kulaza...
Salaam ndugu zangu: Leo asubuhi nimepita kwa bwana Millard Ayo, nikakutana na hii clip ya bwana Petro Magoti (mkuu wa wilaya ya Kisarawe) akieleza juu ya sheria pamoja na utejelezaji wake katika wilaya ya Kisarawe.
Nimewaza sana na roho imezidi kuniuma sana juu ya hekima ya hawa viongozi wetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.