kisauji afungiwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kisauji (babu wa TikTok) afungiwa miezi sita

    Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limesema limejiridhisha kuwa Seif Kassim Kisauji maarufu Babu wa TikTok ametenda kosa la kimaadili wakati akitekeleza kazi zake za sanaa na limefikia maamuzi kumfungia kutokujishughulisha kufanya kazi za sanaa ndani na nje ya Tanzania kwa kipindi cha miezi sita...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…