ACHA KUZUGA; MAISHA HAYANAGA KISINGIZIO.
Anaandika, Robert Heriel.
Yule Mtibeli.
Maisha hayakuzugi, hayachezi na wewe, hayana mzaha, yapo halisi, ni tukio Linaloenda mubashara ambalo hakuna kuhaririwa, maisha hayanaga kisingizio, hayabahatishi na hayapo kibahati bahati, ingawaje wahusika ambao...