Ukiwa Mwanasimba uko mitaani ukatamka neno utopolo basi unacheka, unafurahi , unadharau na kubeza , simba ikija uwanjani inaanza mbwembwe Debora anazungusha watu dimba la katikati watu wanakaanga chips shwaaa, raha iliyoje, mara Zimbwe Jr anageuka kwa madoido watu weweee, Kibu anaruka ruka...
ZAMA ZIKIBADILIKA NAWE JIFUNZE ZISIKUTOE KWENYE MFUMO.
Kuna zama ajira zilikuwa nje nje ila sasa ni lazima ufanye usaili na tena ufaulu huo usaili.
Kuna zama fursa zilikuwa zinatafuta watu ila sasa bila kutumia nguvu hizo fursa utaishia kuzisikia tu hewani.
Kuna zama mpaka wenye ufaulu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.