kisumu

  1. G

    Watu wa Pwani ni rahisi kuwa addicts? Kwanini wao wana uraibu mkubwa wa vilevi kuliko miji ya Nairobi, Meru, Kisumu, Nakuru, n.k?

    Dear Kenyans, tunahitaji ufafanuzi Kinacchoendelea kwa sasa Kenya naona kwenye TV na Mitandaoni mkoa ya Coast ikiongozwa na Mombasa hawataki miraa na muguka kuuzwa maeneo yao. The same substances are used all over the country, kwanini ume affect sana coast? Watu wa Pwani ni rahisi kuwa addicted?
  2. B

    Balozi wa Tanzania nchini Kenya Dkt. Kibesse amefanya ziara Kaunti ya Kisumu

    Balozi wa Tanzania nchini Kenya, Mhe. Dkt. Bernard Kibesse amefanya ziara katika Kaunti ya Kisumu ambapo pamoja na mambo mengine, amekutana kwa mazungumzo na Gavana wa Kaunti ya Kisumu – Kenya, Mhe. Prof. Peter Nyon’go, tarehe 8 Februari 2024. Balozi Kibese na Gavana Nyong’o wamekubaliana...
  3. JanguKamaJangu

    Watu wanne wamepigwa risasi na Polisi Mjini Kisumu katika Siku ya Mwisho ya Maandamano ya Azimio

    Watu hao wanaendelea na matibabu katika Vituo vya Jaramogi Oginga Odinga Teaching na Hospitari ya JOOTRH baada ya kujeruhiwa kwa risasi katika maandamano yaliyoratibiwa na Azimio la Umoja One Kenya. Mmoja kati ya waliojeruhiwa ni Afisa Afya wa JOOTRH ambaye alipigwa risasi ya bega akiwa katika...
  4. JanguKamaJangu

    Kinachoendelea Maandamano Nchini Kenya, Machi 20, 2023

    VIONGOZI WA UPINZANI WAKAMATWA, RAIA APIGWA RISASI Seneta wa Kilifi, Stewart Madzayo pamoja na Wabunge Amina Mnyazi na Ken Chonga, wanaripotiwa kushikiliwa na Polisi kwa kushiriki maandamano ya kuipinga Serikali katika Mji Mkuu, Nairobi Hadi hivi sasa Raia kadhaa wanaripotiwa kushikiliwa huku...
  5. N

    Msaada: Kuna magari ya moja kwa moja kutoka Dar - Kisumu, Kenya

    Habari ndugu zangu nauliza gari gani nzuri kutoka dar kwenda kisumu na bei yake au kama mtu anaexperience na safari ya namna hii naomba anielekekeze.
  6. Magonjwa Mtambuka

    US Embassy Issues Travel Advisory Against Kisumu

    US Embassy Issues Travel Advisory Against Kisumu By GEOFFREY LUTTA US Embassy in Nairobi has issued a travel advisory to its citizens and personnel to exercise caution while visiting the lakeside city of Kisumu during the electioneering period. Through a statement dated Tuesday, August 2, the...
  7. MK254

    Google finalises first phase of mapping Kisumu businesses

    Kisumu County has completed the first phase of mapping and assigning homes, businesses and social amenities in the lake city online addresses. The county carried out the mapping exercise in partnership with Google Plus Codes, which has created a comprehensive system of locating properties to...
  8. Papaa Mobimba

    Video: Inadaiwa kutokea Kisumu, kibaka akwapua simu za wazungu kwenye mgahawa

    Kijana wa Kikenya amelitia Taifa hilo katika aibu baada ya kukwapua simu mbili za watasha waliokuwa wakipiga stori sogozi kwenye mgahawa. Kijana huyo aliyeingia ndani ya eneo hilo akiwa anaongea na simu na kwenda kukaa karibu na watasha hao lakini ghafla alikwapua simu hizo na kufanikiwa kukimbia.
  9. nizakale

    Majambazi yaliyovamia benki huko Kisumu yamedhibitiwa?

    Kenya hakuna askari. Vibaka wanne wamewaendesha polisi wa Kenya kutwa nzima. Hapa kwetu Tanzania ni jeshi la sungusungu tu lingetosha kuwadhibiti ndani ya dakika 45 tu. Poleni wakenya.
  10. Mchimba Chumvi

    Msafara wa DP Ruto wapigwa nawezaje kisumu

    If you don't fancy a certain presidential candidate don't attend his campaigns. Simple Wakenya sisi watz tuaipenda sana democracy yenu lakini ndugu zetu mmekosa uvumilivu kbs kisiasa
  11. Magonjwa Mtambuka

    Jengo laporomoka huko Kisumu

    Jengo lingine lililokuwa linajengwa limeporomoka leo na kujeruhi watu kadhaa huko Mamboleo, Kisumu. Ufisadi na janjajanja vitawamaliza hawa nyang'au, yaani sasa imekuwa kama fasheni. Building under construction collapses in Kisumu. Nyanza By Harold Odhiambo A two-storey building under...
  12. beth

    #COVID19 Curfew to begin at 7pm in Kisumu and 12 other counties, movement restricted

    The government has reviewed COVID-19 containment measures in 13 counties within the Lake Basin region following a spike in the infection rate in the area. In a statement issued on Thursday, Health Cabinet Secretary Mutahi Kagwe said the dusk-to-dawn curfew shall begin at 7pm and end at 4am in...
Back
Top Bottom