Wakazi wa Kigamboni siku ya Jumapili waliweza kufurahia ladha za vyakula mbalimbali vya asili kupitia kampeni ya ‘Coca-Cola Kitaa Food Fest’ ambayo iliyofanyika Geza Ulole wilaya ya Kigamboni.
Kampeni hiyo inalenga kuenzi vyakula vya asili na kuimarisha mshikamano wa kijamii huku ikikuza...