Kitabu cha Eric Kabendera kisizuiwe acha kiuzwe Ili Wananchi wapate ufahamu wa aina ya Waandishi wa Habari wa Tanzania
Hiyo story ya Magufuli kumpiga Risasi ya kichwa Ben ofisini ni story zilizotumiwa Mbeya wakati Ujambazi wa akina Jombi, Luhambati na Kipagati ukitikisa hadi Zambia na Malawi...