Baada ya kumaliza kitabu cha Maisha ya Malcom X sasa na tusome kitabu kuhusu historia ya Tanganyika. Vitabu hivi na vingine vingi unaweza kuvisoma bure ndani ya app ya Maktaba Sauti
UTANGULIZI
(Uliotangulia kitabu hiki kilipotolewa mara ya kwanza)
KWANZA inafaa wasomaji wote wafahamu ya...