Habari wanajamvi,
Ukiachia mbali kupigia kura 😆🤤 Hivi kitambulisho cha kupigia kura kinaweza kuwa na matumizi mengine ya ziada?
Au niache kujisumbua kwenda kupanga foleni bure!
Raia wa Burundi, Kabura Kossan (65) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam akikabiliwa na mashtaka sita yakiwemo ya kughushi kitambulisho cha Taifa (Nida) na cha Mpiga kura.
Vilevile anadaiwa kutakatisha Sh8 milioni zilizotokana na kununua eneo lene ukubwa wa heka 100...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.