Salaam wadau wa maendeleo! Najua wizara ya ardhi mnafanya kazi kubwa sana tena sana, Hongereni sana;
Licha ya changamoto mbali mbali mnazopitia ila naomba wakuu wa idara basi angalieni utendaji wa kitengo cha kuchukua hati za kawaida.
Haiwezekani kwenye system hati inaonekana imetoka alafu...