kitengo cha upimaji na ramani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Wizara ya Ardhi

    Wizara ya ardhi yawajengea uwezo wadau wa mradi wa uimarishaji miundombinu ya upimaji

    Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kupitia Mradi wa Kuimarisha Miundombinu ya Upimaji na Ramani (LDI) imeendesha semina ya kuwajengea uwezo wadau wa mradi huo kutoka taasisi mbalimbali kuhusiana na namna mradi mradi huo unavyorahisisha kazi katika maeneo yao. Semina hiyo imefanyika...
  2. Wizara ya Ardhi

    Wataalamu wa Ardhi wametakiwa kuwahudumia Watanzania kwa weledi

    Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Deogratius Ndejembi amefanya kikao kazi na wataalamu wa Idara ya Maendeleo ya Makazi pamoja na Idara ya Upimaji na Ramani Agosti 13, 2024 ambacho kimefanyika Makao Makuu ya Wizara Mtumba jijini Dodoma. Soma Pia: Waziri Ndejembi ataka uadilifu na...
  3. ChoiceVariable

    Waziri Jerry Silaa aigiza Wizara ya Ardhi Kitengo cha Upimaji na Ramani kupima kila kipande cha ardhi nchi nzima

    Waziri wa Ardhi na Nyumba ameagiza Nchi nzima ipimwe. Moja ya shida kubwa kabisa ya Tanzania ni ujenzi holela na Nchi inakuwa kama dampo Kwa kujaaa ma slums na mabanda Kila sehemu. My Take: Peleka Kwenye Balaza la Mawaziri pendekezo la kuunda Mamlaka au Wakala wa Mipango Miji na Matumizi...
Back
Top Bottom