Wizara ya Ardhi, Nyumba na
Maendeleo ya Makazi kupitia Mradi wa Kuimarisha Miundombinu ya Upimaji na Ramani (LDI) imeendesha semina ya kuwajengea uwezo wadau wa mradi huo kutoka taasisi mbalimbali kuhusiana na namna mradi mradi huo unavyorahisisha kazi katika maeneo yao.
Semina hiyo imefanyika...
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Deogratius Ndejembi amefanya kikao kazi na wataalamu wa Idara ya Maendeleo ya Makazi pamoja na Idara ya Upimaji na Ramani Agosti 13, 2024 ambacho kimefanyika Makao Makuu ya Wizara Mtumba jijini Dodoma.
Soma Pia:
Waziri Ndejembi ataka uadilifu na...
Waziri wa Ardhi na Nyumba ameagiza Nchi nzima ipimwe.
Moja ya shida kubwa kabisa ya Tanzania ni ujenzi holela na Nchi inakuwa kama dampo Kwa kujaaa ma slums na mabanda Kila sehemu.
My Take:
Peleka Kwenye Balaza la Mawaziri pendekezo la kuunda Mamlaka au Wakala wa Mipango Miji na Matumizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.