kithure kindiki

Abraham Kithure Kindiki (born 17 July 1972) is a Kenyan politician and lawyer who is the Cabinet Secretary of Interior and Administration of National Government. He is the Deputy President nominee following the impeachment of the former Deputy President Rigathi Gachagua He represented Tharaka-Nithi County in the Kenyan Senate from 2013 until 2022.

View More On Wikipedia.org
  1. Tlaatlaah

    SENIOR COUNSEL DR.ABRAHAM KITHURE KINDIKI WILL NEVER EVER MESS UP WITH DR.WILLIAM SAMOE RUTO IN PRESIDENCY INSTITUTION.

    Do you agree or not? God bless beautiful Kenya Republic 🐒
  2. JanguKamaJangu

    Profesa Abraham Kithure Kindiki aapishwa kuwa Naibu Rais Kenya

    Profesa Abraham Kithure Kindiki ameapishwa rasmi kuwa Naibu Rais wa Tatu wa Jamhuri ya Kenya. Kindiki ameapishwa na Msajili wa Mahakama nchini Kenya, Winfrida Mokaya mbele ya Jaji Mkuu Martha Koome, katika hafla inayoandaliwa kwenye jumba la Mikutano la KICC jijini Nairobi. Kindiki anachukua...
  3. M

    Leo anaapishwa Proffesor of Law Abraham Kithure Kindiki kuwa Naibu wa Raisi 3 wa Kenya

    Hii ni baada ya Gachagua kushindwa mahakamani, Kenya wana sheria na katiba bora ya kuigwa mfano.
  4. U

    Familia ya Naibu Rais mteule Kenya Profesa Kithure kindiki ina maprofesa watano na madaktari wa falsafa watarajiwa 4

    Familia ya Naibu Rais mteule Kenya Profesa Kithure kindiki inao maprofesa watano na madaktari wa falsafa watarajiwa 4! Wadau hamjamboni nyote? Familia bora kabisa kitaaluma. Niwatakie siku njema.
  5. Waufukweni

    Spika wa Bunge amtangaza rasmi Prof. Kindiki kama Naibu Rais kwenye Gazeti la Serikali

    Spika wa Bunge la Kitaifa, Moses Wetangula, ametangaza rasmi Kithure Kindiki kuwa Naibu Rais kupitia Gazeti la Serikali, licha ya kuwepo kwa amri ya mahakama iliyotolewa ili kusitisha mchakato huo. Hii inakuja wakati ambapo mvutano wa kisheria unaendelea kuhusiana na uteuzi huo, lakini Spika...
  6. JanguKamaJangu

    Bunge lapitisha jina la Prof. Kithure Kindiki kuwa Naibu Rais wa Kenya

    Bunge la Kenya limepiga kura ya kuridhia Prof. Kithure Kindiki kuwa Naibu Rais ambapo kwa kura 236 huku kukiwa hakuna iliyoharibika. Baada ya hatua hiyo, kinachofuata ni Prof. Kindiki kuapishwa na kuwa rasmi Naibu Rais wa Rais William Ruto. Atakapoapishwa atachukua nafasi ya Rigathi Gachagua...
  7. Kidagaa kimemwozea

    Rais Ruto ampendekeza Prof. Kithure Kindiki kuwa Naibu Rais baada ya Rigathi Gachagua kuondolewa madarakani

    Rais William Ruto amemchagua Waziri wa Usalama wa Ndani, Kithure Kindiki (52), kuwa Naibu Rais mpya baada ya Rigathi Gachagua (59), kuondolewa madarakani Alhamisi usiku. Jina la Kindiki limepelekwa Bungeni ambapo wabunge wanatarajiwa kulipigia kura. Spika Moses Wetang'ula alitangaza uteuzi huo...
Back
Top Bottom