Habari Tanzania project yetu ya NotiAi imependekezwa kwenye mashindano ya Google GeminiAPI
-NotiAi ni AI inamuwezesha hata mtu asokua na internet kuAccess AI kwa SMS tu
Tupige kura Tuzo ije nyumbani
Link: Vote.notiai.com
💣Usisahau kuweka number tukishinda kutakua na mkono wa shukrani
wakuu habarin , wapi naweza pata smart kitochi? nahitaj simu ya batan ndogo yenye uwezo wa internet na WIFI ya 3g au 4g kama ipo, nimechoka kutembea na router kila wakati..
Wakuu kama title inavyojieleza nina kitochi hapa huwa kinanisevu sana ku hotspot PC na simu yangu muda mwingine, sasa kinaboot kinaishia kwenye logo.
Nahitaji msaada namna ya kukiflash, hii ni mara ya pili kinarudia hili, mara ya kwanza kilitokea nikakipeleka kwenye Tigo shop yao Dodoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.