Taarifa za hivi punde zinaeleza kuwa kituo cha mabasi Morogoro kinaungua moto
======
Zaidi ya vibanda tisa vya Wafanyabiashara vilivyopo pembezoni mwa stendi ya Msamvu Manispaa ya Morogoro vimeteketea kwa moto huku chanzo kikiwa bado hakijafahamika.
Baadhi ya Wafanyabiashara katika stendi...