Kila siku watu watatu mpaka watano hutelekezwa kituo cha mabasi cha Magufuli kilichopo jijini Dar es salaam wengi wao wakiwa ni watoto wenye umri chini ya miaka 18.
Ofisi ya ustawi wa jamii kituoni hapo inasema kuwa wengi wao hutoka majumbani kwao na kuja Dar wakiamini kuwa ndo kuna maisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.