kivuko cha magogoni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Tman900

    Kivuko Cha Magogoni Feri

    Serikali imeshindwa kuendesha kivuko Cha Magogoni Ferry, Azam amewekeza ktk usafiri wa maji, Sasa hivi ndo anatoa huduma/ Biashara ya akuvusha watu pale ferry, kwa Uhakika kabisa. Na watu Wengi wanaona Bora wapande kivuko cha Azam kuliko cha Serikali. Kivuko kilichopo, kitakufa kama vilivyokufa...
  2. Teko Modise

    Baada ya kivuko kupata changamoto, mitumbwi yatumika kuvuka Kigamboni

    Baada ya kivuko kupata changamoto, wasajiriamali wamejiongeza, huu ndio usafiri wa dharura huko Kigamboni kwa ambao wanaona darajani ni mbali. Mitano tena
  3. Stephano Mgendanyi

    Bashungwa azikutanisha TEMESA na Azam Marine uboreshaji Huduma za Vivuko

    Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameukutanisha Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) na Kampuni ya M/S Azam Marine kujadili namna ya kuendelea kushirikiana kwa pamoja kuboresha utoaji wa huduma za usafiri wa vivuko katika eneo la Magogoni – Kigamboni jijini Dar es Salaam. Kikao hicho...
  4. Erythrocyte

    Songoro Marine waanza kuisoma namba, wanyimwa kazi ya Kivuko cha Magogoni

    Songoro Marine ndio kampuni pekeee (local) iliyokuwa inapewa tenda za kutengenza meli na vivuko kila mahali nchini Tanzania (sijui walikuwa wanatumia mbinu gani) Songoro Marine Mkazi wa Ilemela Mkoani Mwanza, ndiye aliyepewa kazi ya kutengeneza Meli mbili za Ziwa Nyasa, ambazo zilirudishwa...
Back
Top Bottom