Baada ya kivuko kupata changamoto, wasajiriamali wamejiongeza, huu ndio usafiri wa dharura huko Kigamboni kwa ambao wanaona darajani ni mbali. Mitano tena
Afu unasikia watu wanabadilisha v8 za 500M kila siku.
Maajabu kwerikweri. Wenyeji mtuambie hapa ni bukoba au mkoa gani.
Haijajulikana wanapita shortcut au hakuna njia mbadala kukwepa huo mto wanavyotoka shuleni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.