Usiku wa mwaka mpya .
Majanga yanatafutwa kwa lazima.Kiongozi anaruhusu watu wavuke bure na bila utaratibu kwenda kwenye tamasha la mwaka mpya.
Kivuko chenye uwezo wa KUBEBA watu 100 na Magari 3 KINABEBA watu zaidi ya 2000 na hakuna anaejali wa kuchukua tahadhari za kiusalama.
VIONGOZI wa mkoa...
Afu unasikia watu wanabadilisha v8 za 500M kila siku.
Maajabu kwerikweri. Wenyeji mtuambie hapa ni bukoba au mkoa gani.
Haijajulikana wanapita shortcut au hakuna njia mbadala kukwepa huo mto wanavyotoka shuleni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.