Yaaan ukifika banana panda kwenda kivule aisee.
Kuna lami wamekula wajanja yaaan wanatengeneza vipande wanafika Sehemu ya Kilomita zaidi ya 7 hakuna njia mashimoo tupu.
Unakuta lamiii tena hawa watu sijui wamekubaliaje hii hali.
Hataree sana na inasikitisha kweli kweli maisha wanayoishi kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.