Yaaan ukifika banana panda kwenda kivule aisee.
Kuna lami wamekula wajanja yaaan wanatengeneza vipande wanafika Sehemu ya Kilomita zaidi ya 7 hakuna njia mashimoo tupu.
Unakuta lamiii tena hawa watu sijui wamekubaliaje hii hali.
Hataree sana na inasikitisha kweli kweli maisha wanayoishi kama...