Licha ya Serikali kuhamasisha uanzishwaji wa viwanda nchini lakini bado upatikanaji wa mali ghafi za kuendesha baadhi ya viwanda ni changamoto.
Kiwanda cha maziwa cha MMS kilichopo Halmashauri ya Nsimbo mkoani Katavi kimefungwa na mmiliki wa kiwanda hicho.
Kiwanda hicho kilichozinduliwa...