Ndugu zangu ,Watanganyika, kuna hali inayoleta maswali mengi kuhusu matumizi ya muda na fedha zetu.
Siku hizi, tunaona watu wengi wakijitokeza kusherehekea "birthday" ya Saa100, lakini ni muhimu kujiuliza: ni kweli tunatumia vizuri muda wetu?
Je, tunafanya kazi za kimaendeleo au tumejikita...