Kwa wiki nzima kaulimbiu ya wapenzi wa Klabu ya Simba "YANGA HAWATOKI SAFARI HII KWA USAJILI HUU ULIOFANYIKA" lakinI pamoja na kaulimbiu yenu Yanga wametoka na mmefungwa. Lawama zote zimuendee kipa CAMARA.
Mpira uliopigwa na Chama kwa asilimia 100 ulikuwa unatoka nje sasa mbwembwe za nini...