kocha juma mgunda

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Shark

    Simba S. C yaachana rasmi na Kocha Juma Mgunda

    Klabu ya Simba imeachana na Kocha Juma Ramadhani Mgunda ambaye alikuwa akiinoa Timu ya Wanawake ya Simba Queens huku mara kadhaa akipewa jukumu la kufundisha timu ya wakubwa ya klabu hiyo. Soma Pia: Juma Mgunda ameridhika kuwasaidia kufundisha Simba SC na kusahau kuwa ana 'profile' kubwa katika...
  2. William Mshumbusi

    Kama Azam wakishindwa kumpata kocha Julien Chevalier kutoka Asec basi Wampe timu Ongala na Mgunda ata kwa Muda

    Kwa makocha wa Africa kwa vilabu namkubali sana huyu mfaransa Julien Chevalier. Amekua Asec kwa mafanikio makubwa kwa misimu mitano mfululizo licha ya msimu uliopita kumaliza wa 5. amekuwa bingwa mara 4 mfululizo licha ya kuwa timu yake huuza mastaa wake wote kila mwisho wa msimu. Mbaya na...
  3. GENTAMYCINE

    Wana Simba wenzangu mbona mmeacha kuimba wimbo wa kumsifia Kocha Mgunda? Tafadhali tuendelee

    Wana Simba SC Wenzangu vipi tena mbona baada ya 'Droo' ya Kagera jana ule Wimbo wa Kumsifia Kocha Mgunda siusikii tena? Tafadhali tendelee Kuuimba Ok? Yaani Viongozi wa Simba SC nawakubali kwani wanajua sana Kucheza na Akili zetu, Kutupoza na Kutuhamisha Fikra zetu.
Back
Top Bottom