Manchester United wamemchagua kocha wa Sporting Ruben Amorim kuwa meneja wao mpya.
Mreno huyo mwenye umri wa miaka 39, ambaye atahamia OldTrafford kutoka klabu ya Lisbon mnamo Novemba 11, ametia saini mkataba hadiJuni 2027.
Mshambulizi wa zamani wa United Ruud van Nistelrooy,ambaye alichukua...