kocha mpya yanga

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. jingalao

    Yanga ni club ya maamuzi magumu

    Hakika Yanga inaendeleza historia yake ya miaka mingi.Yaani haina utani katika kufanya maamuzi. Yaani ukiizingua Yanga haikuachi ukiisaliti Yanga lazima ikunyooshe. HONGERA ENG Hersi. na wengine wote waliobakia. YOU ARE EITHER WITH YANGA OR AGAINST YANGA!!
  2. Paul dybala

    Wachezaji Wafuatao wangetupisha Yanga SC

    Baleke Musonda Aucho Pacome Dube Yote kwa yote viongozi wa Yanga wamekurupuka kutuletea kocha asiye na profile kubwa Ts Galaxy ...michezo 30 kashinda mechi 12 kapoteza 10 kadraw 8 Hapa wananchi tumepigwa makosa yamefanyika ..ilifaa kukaa chini na Gamond amalizie mda wake. Soma Pia: Rasmi...
  3. Kaiche

    Wachambuzi wanaoleta Takwimu mbovu za Kocha mpya Yanga

    Watu mnaoleta takwimu za GERMAN MACHINE… mtakua hamfaham mpira! Mpira umebadilika siku hizi… Carlo anceloti akiwa Everton alipigika saana lakini haikuwazuia REAL MADRID kumchukua tena. Vincent Kompany beki kisiki wa Man City, Aliishusha Burnley Daraja lakini Bayern Munich walimsajili na Ndio...
  4. Paspii0

    Yanga: Kichaka cha Kocha, Mabadiliko Yasiyoisha

    "Yanga, ah Yanga! Kumfukuza kocha inakuwa ni kama hafla ya kila mwaka,si lazima yawe matokeo mabaya, lakini inajikuta ikichukuliwa kama 'desturi' ya mabadiliko. Kocha anapochukua mikoba, mashabiki wanajua kuwa atakuwa 'mfalme' kwa wiki chache tu,ndio, wiki chache tu! Kisha, na kwa uchungu...
Back
Top Bottom