Hivi karibuni kumekuwa na tetesi kuwa Simba wako mbioni kukamilisha usajili wa kocha mmoja kutoka Afrika ya Kusini. Kama tetesi hizi ni za kweli basi simba watakakuwa wanakosea, huu ni mtazamo wangu binafsi.
Tatizo la Simba lipo kwenye uongozi, wengi wao ni wapigaji ambao wanaangalia zaidi...