Ni vigezo gani vimetumika kocha wa Azam kuwa kocha bora wa mwezi november na siyo kocha wa Simba?
Mechi 3 za mwezi november Azam wameshinda mechi 3,
Azam 1 Kagera Sugar 0
Azam 2 Singida Big Star 1
Yanga 0 Azam 1.
Mechi za Simba
Pamba 0 Simba 1
Simba 4 KMC 0
Mashujaa 0 Simba 1
Azam mechi 3...
Azam FC imetangaza leo, Septemba 3, 2024, kwamba imefikia makubaliano ya pande mbili na kocha mkuu Youssouph Dabo ya kusitisha mahusiano yao ya kikazi. Dabo, ambaye amehudumu katika klabu kwa kipindi cha mwaka mmoja, anaondoka pamoja na wasaidizi wake wote wa benchi la ufundi aliokuja nao.
Soma...
1. Inaelezwa kuwa kiungo wa Young Africans Aziz Ki ameongeza mkataba wa miaka miwili na timu hiyo
2. Klabu ya Azam na Young Africans zinamuwania beki kisiki wa Coastal Union Lameck Lawi
3. Kuna uwezekano winga wa Simba Sc, Aubin Kramo akapelekwa kwa mkopo Zesco United ya Zambia
4. Kiungo...
Kwa makocha wa Africa kwa vilabu namkubali sana huyu mfaransa Julien Chevalier. Amekua Asec kwa mafanikio makubwa kwa misimu mitano mfululizo licha ya msimu uliopita kumaliza wa 5.
amekuwa bingwa mara 4 mfululizo licha ya kuwa timu yake huuza mastaa wake wote kila mwisho wa msimu.
Mbaya na...
Tayari Azam wameshaachana na kocha wao na benchi la UFUNDI kutokana na matokeo yadiyoridhisha.
Jambo Kama hili wengi walilitegemea kutokana na uwekezaji uliofanywa na matokeo wanayopata.
Mtazamo wangu binafsi sio kocha peke yake ndio chanzo cha kufanya vibaya lakini uongozi pia ulichangiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.