kodi kubwa tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. BARD AI

    TRA: Vitu viwili duniani haviepukiki ni Kifo na kulipa Kodi

    Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imesema moja ya Wajibu wake ni kuendelea kuhamasisha ikiwemo kutoa Elimu ya Mlipakodi kwa Watanzania ili watambue thamani na Umuhimu wa Kufanya hivyo ikiwa ni kwa Maendeleo yao na Maslahi mapana kwa Taifa. Kauli hiyo imetolewa Jijini Dar es Salaam leo Agosti...
  2. Pdidy

    Halmashauri ya Moshi kwa nini mnaamua kupandisha kodi za Maroli bila kujadiliana kwa kina na wahusika?

    Wafanyabiashara wa Moshi wenye malori wamegoma kuingiza malori barabarani baada ya sitomfahamu ya kodi iliopanda pasipo kushirikishwa Wakiongea kwa uchungu wamesema wao waliitwa wakajulishwa upandaji wa kodi hivi karibuni wakaahidiwa wataitwa viongozi watajadiliana na kuona sh ngapi ya...
  3. Son of Gamba

    'Alan Alda' Muigazaji wa Marekani aliwahi kutolea Mfano Tanzania kama moja ya nchi inayotoza kodi za juu Afrika

    Ilikuwa ni mwaka 2015 katika kipindi cha Television huko USA kiitwacho "The west Wing". Alan Alda akawa anaigiza kama Rais wa Marekani akiizungumzia Afrika na changamoto zake za kiuchumi. Kilichonivutia hadi kuandika uzi huu ni kumsikiliza Alan Alda akiitolea Tanzania mfano wa nchi inayoongoza...
Back
Top Bottom