Hello wanajamvi!
Naomba kuliza ni kwanini jiji la Dsm hususani ilala wanatoza Kodi kubwa ya mabango kuliko hata kodi ya mapato ya TRA hata ya halmashauri?
Mfano!
Mtu una biashara mauzo yako kwa siku hayafiki laki na nusu 150,000,
TRA kwa mwaka unalipa around 1,500,00 mapaka 2,400,00.
Kodi ya...