kodi kwa maendeleo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. TRA Tanzania

    Bado siku 2 kumaliza mwezi Novemba, lipa kodi kwa maendeleo ya Taifa

    Bado siku 2 tu kumaliza mwezi Novemba. Wahi ulipe kodi yako kwa maendeleo ya Taifa.
  2. BARD AI

    TRA: Vitu viwili duniani haviepukiki ni Kifo na kulipa Kodi

    Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imesema moja ya Wajibu wake ni kuendelea kuhamasisha ikiwemo kutoa Elimu ya Mlipakodi kwa Watanzania ili watambue thamani na Umuhimu wa Kufanya hivyo ikiwa ni kwa Maendeleo yao na Maslahi mapana kwa Taifa. Kauli hiyo imetolewa Jijini Dar es Salaam leo Agosti...
  3. A

    Rais Samia alisisitiza kuhusu kulipa kodi kwa ajili ya maendeleo lakini inafanyika kinyume chake

    Bwana yesu asifiwe. Iko hivi, kuna kifaa nilinunua chenye thamani ya laki tatu, muuzaji aliponiandikia risiti aliandika elfu tatu, nikasema hili sikubaliani nalo. Wakaniambia wanipunguzie kidogo bei halafu risiti ile niichukue, nikasema no, mwisho jamaa akaandika laki tatu. Hivi ni wangapi...
  4. Dr. Mwigulu Nchemba

    Kodi zetu ndio Maendeleo ya Taifa letu

    Kodi zetu ndio Maendeleo ya Taifa letu. Mwaka 2021/22- Trillions 22.2. Mwaka 2022/23- Trillions 24.1. Mwaka 2023/24- Trillions 27.6 ==== Pia soma: Mgogoro wa Kariakoo vs TRA; Tatizo Siyo Kodi Bali Matumizi Mabaya ya Kodi Chini ya 20% Ya watanzania ndio walipa Kodi
Back
Top Bottom