Bwana yesu asifiwe.
Iko hivi, kuna kifaa nilinunua chenye thamani ya laki tatu, muuzaji aliponiandikia risiti aliandika elfu tatu, nikasema hili sikubaliani nalo. Wakaniambia wanipunguzie kidogo bei halafu risiti ile niichukue, nikasema no, mwisho jamaa akaandika laki tatu.
Hivi ni wangapi...