kodi kwenye makanisa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kwanini makanisa yanakusanya sadaka wakati hayalipi kodi na wala hayawakopeshi waumini ili wajikwamue kiuchumi?

    Kanisani kuna watu wana hali ngumu sana kifedha, ufukara umewajaa, Hawana chakula, nguo, makazi ya uhakika, Hawana vyanzo rasmi vya mapato, yaani full dhiki. Hawa watu ni waaminifu sana mbele za Mungu, wanatoa hela zao zote walizochukua nazo, Mwamposa akiwaambia wajipukutishe, hata nauli ya...
  2. Dkt. Mpango: Wahubiri wa dini wanajilimbikizia mali

    Makamu wa Raisi Dkt. Philip Mipango Makamu wa Raisi Dkt. Philip Mipango akimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan katika kilele cha Maadhimisho ya Jubilei ya Miaka 50 ya Kanisa la New Life Outreach iliyofanyika katika kanisa hilo Sakina mkoani Arusha amegusia...
  3. Rais Kagame asema anafikiria kuanzia Kodi ya Makusanyo ya Kanisa kutokana na Utapeli unaofanywa na Viongozi wake

    Rais wa Rwanda, #PaulKagame amesema ongezeko la Makanisa ambayo mengi kati yake yamekuwa yakichukua Fedha za Waumini na kuwatajirisha Viongozi wa Madhehebu utailazimu Serikali kuanzisha Kodi ya Makusanyo ya Kanisa. Pia Soma: Kagame ni muongozo sahihi katika masuala ya kidini nchi za Afrika...
  4. Kagame ni muongozo sahihi katika masuala ya kidini nchi za Afrika

    Linapokuja suala la dini Kagame ndiye kiongozi 'sensible' zaidi katika bara la Africa. Sasa hivi anafikiria makanisa yaanze kulipa kodi! Pia soma: Rwanda yafunga makanisa 4,000 na misikiti 100 iliyokiuka vigezo vya usalama Rais wa Rwanda, Paul Kagame, ametangaza kuwa anaweza kuanzisha kodi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…