Hello wanajamvi!
Naomba kuliza ni kwanini jiji la Dsm hususani ilala wanatoza Kodi kubwa ya mabango kuliko hata kodi ya mapato ya TRA hata ya halmashauri?
Mfano!
Mtu una biashara mauzo yako kwa siku hayafiki laki na nusu 150,000,
TRA kwa mwaka unalipa around 1,500,00 mapaka 2,400,00.
Kodi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.