kofi

Kofi is an Akan masculine given name among the Akan people (such as the Ashanti and Fante) in Ghana that is given to a boy born on Friday. Traditionally in Ghana, a child would receive their Akan day name during their Outdooring, eight days after birth.According to Akan tradition, people born on particular days exhibit certain characteristics or attributes. Kofi has the appellation "Kyini", "Otuo" and "Ntiful" meaning "wanderer" and "traveller."

View More On Wikipedia.org
  1. Webabu

    Nchi za kiarabu zaupiga kofi mpango wa Trump na Netanyahu kuhusu Gaza. Wasema wana mpango bora zaidi

    Viongozi wa nchi za kiarabu waliokutana huko Cairo wamesema Gaza itajengwa kwa plani nzuri waliyokwisha kuibuni wakati wapalestina hao wakiwa humo humo ndani. Raisi Elsisi ambaye mara nyingi ameonekana kama kibaraka mkubwa wa Marekani ameongoza kwa kutoa tamko kali akisema zaidi ya kuijenga...
  2. Webabu

    Netanyahu alistahili kupigwa kofi kabisa na Trump kuliko alivyofokewa Zelensky

    Siasa za nje za Marekani na misimamo yao ni ya kibaguzi na kigeugeu cha hali ya juu.Rais Zelensky hakulijua hilo aliposhawishiwa afanye chokochoko kwenye mpaka wa Urusi. Pamoja na ujinga aliokuwa nao Zelensky lakini kwa kumlinganisha na Benjamin Netanyahu basi yeye ni mtu mwema kidogo...
  3. mdukuzi

    Kofi moja tu akasema watoto sio wangu

    Ugomvi ugomvi piga ngumi piga mateke nikamuotea kofi moja tu Akapiga kelele hatari na kuropoka ,naondoka na wanangu,nikamwambia haondoki mtoto hapa akajibu,thubutu......naondoka nao, kwanza sio watoto wako,una jeuri ya kuzaa watoto wazuri hivyo,hujioni hilo komwe. Akaondoka kweli ila wazazi...
  4. Yoda

    Iran kazabuliwa kofi la uso yeye karudisha kwa kumsukuma tu Israel

    Kinachoitwa shambulizi la Iran kwa Israel jana ni kelele kubwa tu za majidai na usumbufu ambazo hazikuleta chochote cha maana. Unashambulia nchi iliyo umbali wa KM 2300 kwa kutuma drones ambazo zinakatiza anga za nchi nyingine kadhaa kwa masaa na karibia zote kuishia kutunguliwa au kuanguka...
  5. Mjanja M1

    Video: Padri ampiga mtoto kofi

    Angalia hapa jinsi Padri alivyompiga mtoto kofi kwenye madhabahu.
  6. Dasizo

    Hivi mumeo au mkeo akikupiga kofi mbele ya umati wa watu Unafanya je wewe kama mke au mume bora?

    Hivi Mumeo au mkeo akikupiga kofi mbele ya umati wa watu Unafanya je wewe kama mke au mume bora?
  7. Mwl.RCT

    SoC03 Kofi Annan | “Utawala bora labda ndio sababu muhimu zaidi katika kutokomeza umaskini na kukuza maendeleo”

    Picha | Kofi Annan (1938-2018) - kwa hisani ya JOEL SAGET/AFP via Getty Images UTANGULIZI Uongozi bora ni muhimu sana katika kutokomeza umaskini na kukuza maendeleo. Kama alivyosema Kofi Annan, uongozi bora ni labda sababu muhimu zaidi katika kufanikisha malengo haya. Kwa hiyo, ni muhimu...
  8. GENTAMYCINE

    Nikikutana na shabiki anayesema Yanga SC imefungwa kutokana na Mvua namzaba Keleb ( Kofi )

    Kwahiyo hiyo Mvua kwa dakika zote 90 na zile dakika 10 za Kubebwa ( Kutafutiwa Goli ) ilikuwa ikinyesha upande wa Yanga SC tu ( kwa Wachezaji Wao ) na kwa Klabu ya USM Alger kulikuwa na Jua linawaka ndiyo maana Wakawafunga na Wakashinda? Poleni na leo nina Furaha isiyoelezeka.
  9. M

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa apigwa kofi hadharani

    Rais Macron kapigwa kofi na mtu anaesemekana kuchoka na hali ngumu ya maisha ambayo hajui itaisha lini. Mtu huyo tayari yuko chini ya ulinzi baada ya kudhibitiwa na Polisi --- Emmanuel Macron was a slapped on the face by a French woman protestor. Its all on the social media with different...
Back
Top Bottom