kola b mjini morogoro

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Watu wasiojulikana wakata nguzo za umeme katika line kuu na kusababisha hasara

    Watu wasiofahamika wamekata nguzo za umeme katika eneo la Kola B mjini Morogoro kwa lengo la kuiba kopa na mafuta ya Transfoma katika line kuu ya umeme na kulisababishia shirika la umeme Tanesco hasara ya zaidi ya shilingi milioni 200. ITV imeshushudia wafanyakzi wa shirika la umeme Tanesco...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…