Naamini mtakufa nyinyi
Kupona nitapona mimi
Kama biashara ya madini
Mgodi na umiliki mimi
Siwezi kuanzisha zaga wakati mwisho wake siuoni
Ni kama kumtusi Baba tena kwa matusi ya nguoni
'Pumbavu'...
Hawanipendi wanaomba nikatike ulimi
Na kwenye 'MV Bokoba' ningekuwepo pia mimi
Na wanapenda kuwa...
KILA SIKU KUNA WATU WANAFANIKIWA KWENYE MAZINGIRA UNAYOONA NI MAGUMU.
1. Kipindi unalaani mahusiano kuna ndoa kila siku zinafungwa.
2. Kipindi unasema hakuna ajira kuna wanaoajiriwa kila siku
3. Kipindi unasema biashara ngumu kuna ambao wanauza mpaka wanakataa wateja.
4. Ukisema mshahara mdogo...
kwenye familia / ndudu zako wa karibu kukiwa na watu waliofanikiwa kwa kufanya biashara inakuwa rahisi kwa wengine kuingia kwenye biashara tofauti na wale wasio na familia au ndugu walifanikiwa kibiashara, sisemi kuwa Huwezi kufanikiwa kabisa bila kuwa na historia ya biashara kwenye familia...
Watu wengi wanaanzisha biashara lakini wengi pia wanafunga biashara, sababu na shauku ya kuanzisha biashara mara nyingi ndio hiyohiyo ya kufunga biashara ila nina wazo au kanjia kadogo ambacho labda kanaweza kukusaidia.
Kama umefeli katika biashara yako, swali la msingi kujiuliza nimefeli mara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.