Wakuu,
Kwahiyo lengo la serikali ilikuwa kumsumbua tu na kumhenyesha basi! Job true true!
Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani Tanga, Kombo Mbwana aliyekuwa mahabusu kwa zaidi ya miezi minne baada ya Mahakama ya Wilaya ya Tanga kumnyima dhamana, amerejea uraiani kwa...
UPDATES KUHUSU KOMBO MBWANA TWAHA, TANGA
TAREHE YA KUTAJWA KWA KESI
Leo Kesi ya Jinai namba 19759/2024 ilitwa mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi Mheshimiwa Moses Maroa wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Tanga kwa ajili ya kuja kutajwa (Mention)
MASHITAKA DHIDI YA KOMBO
Tarehe 16/07/2024 Kombo Mbwana...
Tuliopitwa na tukio hili pitia hapa ambapo mke alisimulia kupitia gazeti la Mwananchi mume wake Kombo alivyotekwa na watu wasiyojulikana - Jumanne Julai 2, 2024
====
Handeni. “Niliamka asubuhi nikaanza kufanya usafi, akaja mtu mmoja akawa anazunguka hapa nyumbani kwetu, tukasalimiana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.