kombo mbwana wa tanga

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Cute Wife

    Pre GE2025 Kombo wa CHADEMA aliyekuwa mahabusu kwa zaidi ya miezi 4 baada ya kunyimwa dhamana aachiwa kwa faini ya Tsh. 85,000!

    Wakuu, Kwahiyo lengo la serikali ilikuwa kumsumbua tu na kumhenyesha basi! Job true true! Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani Tanga, Kombo Mbwana aliyekuwa mahabusu kwa zaidi ya miezi minne baada ya Mahakama ya Wilaya ya Tanga kumnyima dhamana, amerejea uraiani kwa...
  2. Nyendo

    Sasisho: Kombo Mbwana wa Tanga akosa dhamana licha ya kutimiza masharti ya dhamani kama ilivyopangwa

    UPDATES KUHUSU KOMBO MBWANA TWAHA, TANGA TAREHE YA KUTAJWA KWA KESI Leo Kesi ya Jinai namba 19759/2024 ilitwa mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi Mheshimiwa Moses Maroa wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Tanga kwa ajili ya kuja kutajwa (Mention) MASHITAKA DHIDI YA KOMBO Tarehe 16/07/2024 Kombo Mbwana...
  3. Cute Wife

    Mke wa Kombo alivyosimulia jinsi Kombo alivyotekwa na watu wasiyojulikana na juhudi zilizofanyika kumtafuta Julai 2, 2024

    Tuliopitwa na tukio hili pitia hapa ambapo mke alisimulia kupitia gazeti la Mwananchi mume wake Kombo alivyotekwa na watu wasiyojulikana - Jumanne Julai 2, 2024 ==== Handeni. “Niliamka asubuhi nikaanza kufanya usafi, akaja mtu mmoja akawa anazunguka hapa nyumbani kwetu, tukasalimiana...
Back
Top Bottom