Ni kweli ni ubunifu lakini kutangaza jambo kama Hilo hadharani inaleta ukakasi na sio sawa kimaadili.
Ubunifu huo ungeendelea hivyo hivyo kimya kimya Ili kuwastahi mama zetu.👇👇
======
KONDO LA NYUMA LA AKINAMAMA KUZALISHA GESI YA KUPIKIA ; DKT. MOLLELNa. WAF, DodomaNaibu Waziri wa Afya...
Kondo la uzazi kumtangulia mtoto (Placenta previa) hutokea wakati wa ujauzito, kondo huongezeka ukubwa na kutanuka kadri mfuko wa uzazi unavyotanuka na kukua.
Ni miongoni mwa hali za hatari kwa mama mjamzito ambapo kondo la nyuma hujipachika katika sehemu ya chini ya mfuko wa uzazi, kukua na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.