kondoa

The Kondoa Irangi Rock Paintings are a series of ancient paintings on rockshelter walls in central Tanzania. The Kondoa region was declared a UNESCO World Heritage site in 2006 because of its impressive collection of rock art. These sites were named national monuments in 1937 by the Tanzania Antiquities Department. The paintings are located approximately nine kilometres east of the main highway (T5) from Dodoma to Babati, about 20 km north of Kondoa town, in Kondoa District of Dodoma Region, Tanzania. The boundaries of the site are marked by concrete posts.The landscape of this area is characterized by large piled granite boulders that make up the western rim of the Maasai steppe and form rock shelters facing away from prevailing winds. These rock shelters often have flat surfaces due to rifting, and these surfaces are where the paintings are found, protected from weathering.
These paintings are still part of a living tradition of creation and use by both Sandawe in their simbó healing ceremonies, and by Maasai people in ritual feasting. The persisting significance and use of the rock shelters and their art suggests that there has been a cultural continuity between the various ethnic and linguistic groups of people who have resided in the area over time.About 1970, Sandawe men were still making rock paintings. Ten Raa inquired into their reasons for doing so. He classified these reasons as magical (depicting the animal that the painter intended to kill), casual, and sacrificial (on specific clan-spirit hills and depicting rain-making and healing ceremonies).The paintings depict elongated people, animals, and hunting scenes. Older paintings of the 'Naturalistic tradition' are generally red and associated with hunter-gatherers, not only in Kondoa but also throughout the Singida, Mara, Arusha and Manyara regions of Tanzania. The 'naturalistic tradition' paintings are frequently superimposed by a more recent 'late white' style, often depicting cattle, that has been attributed to Bantu farmers and thought to post-date the Bantu expansion into the area. 'White and red' paintings have been attributed to Cushitic and Nilotic pastoralists. Except for the paintings whose creation is recorded in recent times, there is no direct dating evidence. Bwasiri and Smith point out that the rain-making ceremonies of the Sandawe are of Bantu origin, derived from a long history of cultural contact with Bantu and other peoples, and they suggest caution in using recent ethnographic evidence to interpret the history of the art.The Kisese II rock shelter, in the Kondoa area, has art of the 'naturalistic tradition' on the walls, and evidence of occupation on the floors dated to more than 40,000 years ago.
“Africa’s rock art is the common heritage of all Africans, but it is more than that. It is the common heritage of humanity." - South African President Nelson Mandela

View More On Wikipedia.org
  1. JanguKamaJangu

    Lost hope to farmers in Chemba, Kondoa Districts

    Farmers in the villages of Chemba and Kondoa districts have lost hope of any corn harvest this year resulting from extreme hot weather which is drying their fields. Aziza Hussein, an over 60-year-old woman is among those affected by the weather as her one-acre farm in Sambwa village has been...
  2. The Watchman

    Kondoa, Dodoma: Ujenzi wa shule ya sekondari iliyogharimu milioni 544, wanafunzi wapya watakiwa kufanya vizuri kwa kupata daraja la kwanza

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma, Shaban Millao amewataka wanafunzi wa shule mpya ya Mnenia Sekondari kufanya vizuri kwenye mitihani yao na kuhakikisha kwamba wanapata Daraja la Kwanza (Division One) wote kwani wao ndio wanafunzi wa kwanza hivyo wanapaswa...
  3. M

    Siondoki Kondoa kabisa naoa huku huku.

    Damn wazee nipo Dom Kondoa Kuna visu hakuna mfano. Nimeamu nifanye yafuatayo 1. Siondoki tena Kondoa. 2. Nimempigia baba mkwe kule Bariadi na nimemwambia wale Ng'ombe kumi 14 waliowataka Ili waniozeshe binti yao wasahau. 3. Mchepuko wangu wa kinyiramba pale singida siutaki Tena japo roho...
  4. secretarybird

    DOKEZO Kondoa Girls High School waalimu wa field wamegeuka walinzi wa shule, usiku kucha hawalali

    Juzi nilipata taarifa kutoka Kwa mwalimu mwenyeji wa shule ya Kondoa girls kuwa kuwa katika shule yao wizi umekithiri sana, mwalimu yule alidai kuwa watu wasiojulikana wanaenda kuiba mbaazi katika shamba la shule na mbaya zaidi watu wale wameanza kutembelea nyumba za waalimu ili kuiba chchote...
  5. Wizara ya Ardhi

    Wizara ya Ardhi kurasimisha mitaa 13 ya Mji wa Kondoa

    KONDOA Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi inatarajia kutekeleza mradi wa urasimishaji makazi holela kwenye mitaa 13 ya Mji wa Kondoa mkoa wa Dodoma. Hayo yamebainishwa tarehe 21 Agosti 2024 na Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Geophrey Pinda wakati wa ziara ya...
  6. M

    Nahitaji kiwanja na shamba- phahi (kondoa)

    Wadau wa jamvini, Niataji kiwanja na shamba la kununua kata ya pahi(kondoa). Mwenye kiwanja au shamba nijulishe inbox au kwa namba 0767727388.
  7. S

    Nimepata site ya umeme Kondoa, nina imani huku haitakuwa kama ilivyotokea Sumbawanga

    Heshima kwenu! Kila mkoa una neema na changamoto yake. Nilifanikiwa kuwa moja ya mafundi katika ujenzi wa stend mpya Sumbawanga. Kazi ilikwenda vizuri lakini vijana wangu wa kiume wasaidizi ndiyo basi tena walibakia huko baada ya kazi hawajarudi hadi leo na hawataki kabisa kusikia habari za...
  8. F

    Mwenzenu nimenasa kwa mtoto wa Kondoa sifurukuti

    Kazi zangu za tofar zimenikutanisha na mtoto wa kirangi mama ntilie. Huyu mtoto nashindwa kutambua ameniroga au ni michezo brand new anayonipa, sisikii. nikiwa naye simu naweka mbali naiona disturbance mtoto mtukutu kama wacheza rugby hakubali kushindwa. mimi ndio nafundishwa mapenzi. Ubedui...
  9. BARDIZBAH

    Tanga kuna usafiri wa moja kwa moja kwenda Kondoa kupitia Kiteto

    Msaada tafadhali. Tanga kuna usafiri wa moja kwa moja kwenda Kondoa kupitia Kiteto? Na nauli yake imekaaje?
  10. benzemah

    Balozi Kilima: Asilimia 40 ya mabinti wa kazi wanaofanya kazi Oman wanatoka Kondoa

    Akizungumza katika mkutano wa Mkurugenzi wa Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus na Vyombo vya Habari leo tarehe 15 Novemba, 2023, kuhusu ziara za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, alizozifanya nchini Morocco na Saudi Arabia, Balozi Abdallah Abasi...
  11. J

    Jambo kubwa la Nchi lipo Kondoa

    Jambo lipo Kondoa. Mkutano Mkuu wa Jimbo kondoa Mgeni Rasmi Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ( Bara) Ndg. Abdulrahman Kinana. #VitendoVinaSauti #CCMImara #KaziIendelee
  12. opondo

    Naomba kujuzwa hali ya maisha na fursa kati ya bumbuli (mombo) na kondoa dc

    Kwa wenyeji na ambao wameshafika Maeneo hayo, Mimi ni Mwalimu Niko kigoma miaka 25 Sasa, nimepata mtu wa Kubadilishana nae mmoja kanitafuta yupo kondoa dc kata ya hondomairo Mwingine yupo bumbuli (mbelei)... huko Mimi sio mwenyeji Lakini kwa mazingira ya huku kigoma naona ni changamoto...
  13. JanguKamaJangu

    Muonekano wa Stendi ya Mabasi Kondoa (Dodoma) unatia aibu

    Licha ya mamlaka za Serikali kuendelea kutoza ushuru kutoka kwenye mabasi ya abiri yanayopita kwenye Stendi Kuu ya Wilaya ya Kondoa. Mkoani Dodoma bado hali ya mazingira si mazuri. Mabasi yanavyopita wakati wa kiangazi vumbi linalotimka hapo si la Nchi hii, wakati wa mvua napo matope ndio...
  14. Stephano Mgendanyi

    Dkt. Ashatu Kijaji azindua Jengo la Mionzi katika Hosipitali ya Wilaya ya Kondoa

    Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) amewataka watumishi wa afya katika Halmashauri ya Kondoa pamoja na Halmashauri ya Mji Kondoa kutoa huduma bora kwa wananchi kwa kuwa wananchi hao wanamatumaini makubwa ya kupata huduma kwa haraka na kwa uhakika. Ameyasema...
  15. Suzy Elias

    Samia alitarajia Bashe amnange Bashiru pale Kondoa

    Hivi punde pale Kondoa Rais Samia akiwa njiani kuelekea Babati alimuita Waziri wa Kilimo ndugu Bashe na kwa msisitizo akamtaka aongelee kwa kina mambo matatu yahusuyo Sekta ya Kilimo ambayo ni Mbolea, Mbegu na Chakula. Ajabu, kwa utulivu na umakini mkubwa ndugu Bashe amefanikiwa kuukwepa mtego...
  16. Nguku Wakabange

    Mwenye kufahamu udongo wa mbuga nyeusi Kondoa (Kambi ya Moto)

    Ndugu wanajamii forum habari za hapa wapambanaji wenzagu: Nawaombeni msaada kama kuna wadau wana fahamu maeneo ya udongo wa mbuga nyeusi yenye kufaa kilimo cha dengu maeneo ya Kondoa maana kuna rafiki yangu kanidokeza kuna eneo linaitwa Kambi ya Moto lakini yeye pia haijui vizuri ni ameambiwa...
  17. The Sheriff

    Kondoa: Afisa Manunuzi amlalamikia Mkurugenzi kwa kutukana watumishi, asema ubabe wake umezidi

    Afisa Manunuzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa, Mussa Kimwaga amemlalamikia Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo kwa kutukana na kuwa mbabe kwa watumishi. Bw. Kimwaga akitema cheche Tuna ubunifu mwingi sana na ushauri mwingi lakini hatupewi nafasi ya kutoa ushauri mzuri. Ubabe ni mkubwa sana kwa...
Back
Top Bottom