Mahakama ya Uingereza imemhukumu mwanaume wa Kizimbabwe Guy Mukendi (39) kifungo cha miaka 4 na miezi 3 jela kwa kosa la 'kuhadaa' baada ya kutoa kondomu bila ridhaa ya mwenzake wakati wakifanya ngono.
Guy Mukendi (39) kutoka jiji la Brixton alihukumiwa Alhamisi katika mahakama ya ndani ya...