Wakuu kwema?
Nina dogo hapa anataka kusoma kozi zinazohusiana na Biashara, kwahivyo ninahitaji ushauri kwa mawili!
1. Nataka mumshauri dogo kozi nzuri ya biashara ya kusomea!
2. Chuo Kizuri kwa Kozi tajwa ya Biashara kwa South Africa!
Natanguliza Shukrani!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.