kozi za afya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. P

    Kwa matokeo ya Physics E, Chemistry D na Biology C anaweza kusoma lozi ya Afya kwa vyuo vya serikali au binafsi?

    Habari, Dogo kamaliza form six PCB ufaulu wake ni Phy-E, Chem-D na Bios-C, je, anaweza kusoma afya kwa vyuo vya serikali au binafsi? Binafsi anapenda Udaktari au Ufamasia, ushauri afanyaje? Nawasilisha.
  2. H

    Msaada wakuu, Chuo kizuri kozi za afya ngazi ya diploma

    Habari Wakuu, Naombeni mnisaidie ni chuo gani kizuri cha private ngazi ya diploma kwa fani ya nursing na clinical medicine ambacho kina hostel za bei rahisi au hostel za bure? Chuo kisiwe kanda ya ziwa wala kusini mwa Tanzania. Naombeni msaada pls!
  3. Kwa ufaulu huu diploma naenda kozi za afya?

    Habari wanaJF matokeo ya kidato cha sita yametolewa leo . Nimepata ufaulu huu Geo D Chemistry E Bio E BAM E Kwa nilivyoona Sina qualifications za kwenda degree. Nauliza je uwezekano wa kwenda diploma upo kozi za afya?kama inawezekana Je nikisoma diploma ya afya inachukua miaka mingapi...
  4. Kwa matokeo haya anaweza kusoma Kozi gani za Afya?

    Wakuu poleni na majukum, Nimeombwa ushauri hapa nikaona nililete kwenu maana humu kila kila aina ya wabobezi. Huyu kina anataka asome kozi za afya na matokeo yake ni haya : PHYSICS. " F" CHEMISTRY " B" BIOLOGY. "C" MATHEMATICS "C" ENGLISH " B" Kiujumla ana Division Two ya point 19.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…