kreti

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Brojust

    Kunywa Beer kreti zima, ni starehe au stress?

    Nipo mbeya kwa ajili ya mambo yangu ya kifamilia. Nimekutana na mambo ya hovyo sana, nikasema ngoja niwaulize wadau. Jamani eti kunywa beer 20 pekeyako ni starehe au ni stress. Conclusion yangu ambayo haina tafiti ni kwamba, ukitoa ukimwi kinachoua watu wa nyanda za juu kusini ni ulevi...
  2. Lexus SUV

    Anayeuza kreti za bia na soda kampuni yoyote

    Wasiliana nami kwa namba 0756294771. Nahitaji, nipo Moshi Mjini. Karibuni.
  3. M

    Nawezaje kuagiza Moja Kwa Moja kutoka kiwandani TBL na SBL kreti 1000 nazohitaji kuanza nazo kibiashara?

    Wakuu habari zenu, Nataka kuanza biashara ya vinywaji, maandalizi yote tayari. Naomba msaada kwenu wadau najua mna uelewa mpana wa haya mambo, hivi Kwa wingi wa creti ninazotaka kuanza nazo siwezi kuletewa na kiwanda Moja kw Moja mpaka nilipo au mpaka nipitie Kwa maagent wao?
  4. M

    Kama una kreti tupu za soda na bia na unataka kuziuza tuwasiliane

    Wakuu habarini za jioni. Kwa yeyote mwenye kreti tupu za soda na bia kampuni yeyote Ile na anataka kuziuza, naomba tuwasiliane. Hata kama unazo kreti 1000 au zaidi nitazinunua, nipo morogoro mjini.
  5. I

    Nauza kreti za soda na chupa zake zikiwa tupu

    Kama kichwa cha habari kinavosema, nina kreti 10 hap za soda na chupaa zake. Bei ya kreti moja na chupaa zake ni tsh 3500/= Nipigie 0672037238 nkuuzie
  6. Mgibeon

    Nahitaji Kuanza na Kreti Ngapi za Bia?

    Mu-hali gani wakuu??? Maisha magumu sana, kila kukicha mambo yanazidi kuwa magumu, nilifanikiwa kuanzisha ki'biashara flani (maji na juice kwa jumla) hapo Dar ila mimi nilikua mkoani naongeza kisomo kidogo ila kama mjuavyo tena USIMAMIZI Ulikua mgumu sana kutokana na umbali hivyo nikajikuta...
Back
Top Bottom