Jamii yatakiwa kutimiza wajibu wake kuzuia ongezeko la watoto wanaoishi katika mazingira magumu
Hayo yamezungumzwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Benjamin Kuzaga Desemba 25, 2024 alipotembelea Kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji maalum cha...
Vijana wa CHADEMA kutoka Kanda ya Kaskazini walijumuika kusherehekea Sikukuu ya Krismasi nyumbani kwa bibi yake Deusdedith Soka, huko Kibosho. Hafla hiyo pia iliadhimisha siku ya kuzaliwa ya Soka, ikileta furaha na mshikamano kati ya viongozi na wanachama wa chama hicho.
Pia, Soma: Mke wa...
Heri ya sikukuu ya Krismasi na mwaka mpya
KITABU: ZIJUE BARABARA SIKUKUU ZA NOELI NA PASAKA
Na. Padri Titus Amigu.
Chapa - Benedict publication Ndanda - Peramiho -
Juni 2000.
KRISMASI: Pg. 56.
..... Basi, ili kuwa na umoja waamini wapate kusherekea kuzaliwa kwa Yesu, Kanisa likajiwekea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.