krismasi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Kuzaga asheherekea Krismasi na watoto wenye Mahitaji Maalum

    Jamii yatakiwa kutimiza wajibu wake kuzuia ongezeko la watoto wanaoishi katika mazingira magumu Hayo yamezungumzwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Benjamin Kuzaga Desemba 25, 2024 alipotembelea Kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji maalum cha...
  2. Salamu Za Krismasi kutoka kwa Mohammed Salah Na Familia yake

  3. Pre GE2025 BAVICHA wafika nyumbani kwa Bibi yake Soka, washerehekea Krismasi pamoja

    Vijana wa CHADEMA kutoka Kanda ya Kaskazini walijumuika kusherehekea Sikukuu ya Krismasi nyumbani kwa bibi yake Deusdedith Soka, huko Kibosho. Hafla hiyo pia iliadhimisha siku ya kuzaliwa ya Soka, ikileta furaha na mshikamano kati ya viongozi na wanachama wa chama hicho. Pia, Soma: Mke wa...
  4. Sherehe za Krismasi Mwaka Huu Kwenye Baadhi ya Nchi za Kiarab

    Sherehe za Krismasi Mwaka Huu Kwenye Baadhi ya Nchi za Kiarab ikiwemo watu wa Palestina
  5. Padri Titus Amigu: Kwanini tunasheherekea Sikukuu ya Krismasi?

    Heri ya sikukuu ya Krismasi na mwaka mpya KITABU: ZIJUE BARABARA SIKUKUU ZA NOELI NA PASAKA Na. Padri Titus Amigu. Chapa - Benedict publication Ndanda - Peramiho - Juni 2000. KRISMASI: Pg. 56. ..... Basi, ili kuwa na umoja waamini wapate kusherekea kuzaliwa kwa Yesu, Kanisa likajiwekea...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…